Ufumaji ni ufundi unaotumika kutengeneza vitu mbalimbali kwa kutumia vifaa maalumu au kwa mikono tu. Mfano wa vitu hivyo ni mikeka, vitambaa, viti vya kukalia n.k.

Mfumaji huko India.
Mashine ya ufumaji.

Ufumaji unasaidia kuongeza ujuzi wa kubuni; pia unamsaidia binadamu kukidhi mahitaji yake ya kila siku na unaingiza pato kwa taifa.

Pengine ubora wa ufumaji unaufanya kuwa sanaa.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ufumaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.