Valeriano wa Avensano

Valeriano wa Avensano (377 hivi - 457) alikuwa askofu wa Avensa, leo Bordj-Hamdouna, Tunisia, katika karne V, ambaye pamoja na maaskofu wenzake 8 alifukuzwa na mfalme Genseriko wa Wavandali kwa amri ya kwamba mtu yeyote asimkaribishe nyumbani wala shambani.

Kwa hiyo alilala barabarani ingawa alikuwa na umri wa miaka 80[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 15 Desemba[2], lakini pia 28 Novemba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.