Verena wa Zurzach (Garagos, karibu na Thebe, leo Luxor, Misri, 260 hivi – Bad Zurzach, Uswisi, 14 Septemba 344) alikuwa msichana aliyelelewa Kikristo na familia yake na hatimaye alibatizwa.

Huruma ya Mt. Verena, Stuttgart (?), 1524.

Alifuatana na ndugu yake askari wa Kikosi cha Thebe hadi Uswisi alipoishi kwanza kama mkaapweke halafu akawa anasaidia wengi[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Septemba[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.