Wilaya ya Momba

Coordinates: 8°48′42″S 32°21′47″E / 8.81167°S 32.36306°E / -8.81167; 32.36306.


Wilaya ya Momba
Wilaya ya Momba is located in Tanzania
Wilaya ya Momba
Wilaya ya Momba

Mahali pa Wilaya ya Momba katika Tanzania

Majiranukta: 8°48′42″S 32°21′47″E / 8.81167°S 32.36306°E / -8.81167; 32.36306
Nchi Tanzania
Mkoa Songwe
Wilaya Momba

Momba ni wilaya katika mkoa wa Songwe, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 ikigawiwa toka wilaya ya Mbozi.

Makao makuu ya wilaya yapo Tindingoma.

Vijiji vinavyozunguka makao makuu ya wilaya ni: Tindingoma, Nkala, Naming'ongo na Yala. Vyote hivyo vipo ndani ya Tarafa ya Msangano.

Lugha kuu zinazozungumzwa ni pamoja na Kinyamwanga na Kiwanda upande wa Tarafa ya Kamsamba.

Mazao yanayolimwa ni mpunga, mahindi, mtama, ufuta, ulezi, alizeti na kahawa.

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Momba - Mkoa wa Songwe - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Chilulumo | Chitete | Chiwezi | Ivuna | Kamsamba | Kapele | Mkomba | Mkulwe | Mpapa | Msangano | Myunga | Ndalambo | Nkangamo | Nzoka


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Songwe bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Momba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .
Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno