Makala hii inahusu mwaka 1781 BK (Baada ya Kristo).

Matukio hariri

  • 13 Machi - Sayari ya Uranus imegunduliwa na William Herschel.
  • 4 Septemba - walowezi 44 waunda kijiji cha Los Angeles (jina kamili: El Pueblo de Nuestra Señora la Reina de los Ángeles de Portiuncula) ambayo leo hii ni ni mji mkubwa wa ili wa Marekani.
  • 19 Oktoba - Wanajeshi wa Uingereza wajisalimisha mjini Yorktown (Virginia) baada ya kushindwa na Wamarekani wanaosaidiwa na Wafaransa katika mapigano makubwa ya mwisho wa vita ya uhuru ya Marekani.

Waliozaliwa hariri

Mwaka 2024 katika kalenda nyingine
Kalenda ya Gregori 2024
MMXXIV
Kalenda ya Kiyahudi 5784 – 5785
Ab urbe condita (Roma ya Kale) 2777
Kalenda ya Ethiopia 2016 – 2017
Kalenda ya Kiarmenia 1473
ԹՎ ՌՆՀԳ
Kalenda ya Kiislamu 1446 – 1447
Kalenda ya Kiajemi 1402 – 1403
Kalenda za Kihindu
- Vikram Samvat 2079 – 2080
- Shaka Samvat 1946 – 1947
- Kali Yuga 5125 – 5126
Kalenda ya Kichina 4720 – 4721
癸卯 – 甲辰

Waliofariki hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: