Agape na Kionia (walifariki Thesalonike, Ugiriki, 304) walikuwa akina dada mabikira Wakristo ambao kutokana na imani yao walikataa kula nyama iliyotolewa sadaka kwa miungu. Kwa ajili hiyo waliteswa wakauawa kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Agape na Kionia

Watakatifu Agape, Kionia na Irene.
Amezaliwa karne ya 3
Feast

Pengine anatajwa pamoja nao ndugu yao Irene aliyeuawa siku chache baadaye[2]. Labda walitokea Aquileia (Italia)[3][4].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 1 Aprili[5] au 3 Aprili.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Attwater, Donald & John, Catherine Rachel. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4.
  • Schiavo, Anthony P. (2018). [[[:Kigezo:Google books]] I Am A Christian: Authentic Accounts of Christian Martyrdom and Persecution from the Ancient Sources]. Merchantville, NJ: Arx Publishing. ISBN 978-1-935228-18-9.  (Includes the complete English translation of the ancient Acts of Agape, Chionia and Irene)
  • Full online text of Hrotsvitha's play, Dulcitius Archived 14 Agosti 2014 at the Wayback Machine., Fordham University.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.