Andrea na askari wenzake
Andrea na askari wenzake 2593 (walifariki kwenye milima ya Tauro, leo nchini Uturuki, 300 hivi) walikuwa Wakristo wachanga katika imani yao[1] waliouawa na jeshi la Dola la Roma.
Andrea, kamanda wao, alitokea Syria.
Hao wote walianza kuheshimiwa mapema kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Bishop Nikolai Velimirovich, "The Prologue of Ohrid", (New 2nd Edition 2008). The Holy Martyr Andrew Stratelates Archived 2005-11-03 at the Wayback Machine. Retrieved April 14, 2012.
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |