Angel Correa (amezaliwa Rosario huko Argentina tarehe 3 Machi 1995) ni mchezaji wa mpira wa miguu anayecheza timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Atletico Madrid huko Hispania. Nafasi yake ya uchezaji ni mshambuliaji anayecheza winga wa kushoto.

Angel Correa
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaArgentina Hariri
Nchi anayoitumikiaArgentina Hariri
Jina katika lugha mamaÁngel Correa Hariri
Jina la kuzaliwaÁngel Martín Correa Martínez Hariri
Jina halisiÁngel Hariri
Jina la familiaCorrea Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa9 Machi 1995 Hariri
Mahali alipozaliwaRosario Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuKiungo Hariri
Muda wa kazi31 Machi 2013 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoAtlético Madrid, San Lorenzo de Almagro, Argentina national under-20 football team, Boca Juniors Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji16 Hariri
Ameshirikifootball at the 2016 Summer Olympics Hariri
Angel Correa akijaribu kuwatoka timu pinzani
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Angel Correa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.