Aprunkulo wa Langres

Aprunkulo wa Langres (pia: Apruncule, Aproncule, Aprunculus; Autun au Dijon, leo nchini Ufaransa, karne ya 5 hivi - Clermont-Ferrand, 488 hivi) alikuwa askofu wa 11 wa Langres hadi alipolazimika kukimbia dhuluma ya Waario. Hapo akawa askofu wa 12 wa Clermont kuanzia mwaka 479 hadi kifo chake [1].

Mt. Aprunkulo katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.