Benedikto wa Avignon
Benedikto wa Avignon (pia: Bénézet, Benedict, Benezet, Benet, Benoît; Hermillon, Savoy, 1163 hivi - 1184) alikuwa mvulana aliyefanya kazi ya kuchunga katika maeneo ya Ufaransa Kusini Mashariki wa leo.
Kwa msaada wa Mungu aliwezesha ujenzi wa daraja muhimu juu ya mto Rhone huko Avignon[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- (Kiitalia) Pierre Péano, in G. Pelliccia e G, Rocca (curr.), Dizionario degli Istituti di Perfezione (DIP), vol. IV (1977), coll. 1359-1360.
Viungo vya nje hariri
- (Kiingereza) Saints of April 14: Bénézet
- (Kiingereza) Bénézet
- (Kifaransa) L'histoire du Pont St Bénezet Archived 17 Mei 2013 at the Wayback Machine.
Tanbihi hariri
- ↑ *Gross, Ernie. This Day in Religion. New York: Neil-Schuman Publishers, 1990. ISBN 1-55570-045-4.
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |