Bernadi wa Parma
Bernadi wa Parma (Firenze, Italia, 1060 hivi – Parma, Italia, 4 Desemba 1133) alikuwa mmonaki na mkuu wa urekebisho wa Wabenedikto wakaapweke wa Vallombrosa.
Alifanywa kardinali na askofu wa Parma kuanzia mwaka 1106 hadi kifo chake.
Tangu wakati huo aliheshimiwa kama mtakatifu. Mwaka 1139 Papa Inosenti II alipitisha sifa hiyo[1][2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Salvador Miranda. "Uberti, O.S.B.Vall., Bernardo degli (ca. 1060-1133)". The Cardinals of the Holy Roman Church. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-06-09. Iliwekwa mnamo 27 September 2017. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/80450
- ↑ Martyrologium Romanum
Vyanzo hariri
- Affò, Ireneo (1788). Vita di San Bernardo degli Uberti abate gen. di Vallombrosa cardinale di s. chiesa e vescovo di Parma (kwa Italian). Parma: Presso Filippo Carmignani.
- Chronicon Parmense. Monumenta historica ad provincias Parmensem et et Placentinam pertinenti, Volume 5a (kwa Latin). Parma: ex officina P. Fiaccadori. 1855. ku. 491–515.
- Donizo, "Vita Mathildis Comitissae", in: Georgius Henricus Pertz, mhariri (1856). Monumenta Germaniae historica inde ab anno Christi quingentesimo usque ad annum millesimum et quingentesimum (kwa Latin). Scriptorum Tomus XII. Hannover: Impensis Bibliopolii Aulici Hahniani. ku. 348–409, esp. p. 398.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: