Bernika, Prosdoka na Domnina

Bernika, Prosdoka na Domnina (walifariki Yerapoli, leo nchini Uturuki, mwanzoni mwa karne ya 3) walikuwa wanawake Wakristo waliokufa maji katika mto huku wakijitahidi kukimbia askari waliotaka kuwabaka wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Bernika na Prosdoka walikuwa mabikira, Domnina alikuwa mama yao.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa hasa tarehe 14 Aprili[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.