Betrandi wa Comminges
Betrandi wa Comminges (L'Isle-Jourdain, Ufaransa, 1050 hivi – Lugdunum Convenarum[1], Ufaransa, 1126) alikuwa kanoni Mwaugustino, halafu kwa karibu miaka 50[2] askofu wa Lugdunum Convenarum, akifufua na kurekebisha jimbo hilo[3].
Papa Honori III alimtangaza mwenye heri mwaka 1220/1222, halafu Papa Klementi V alimfanya mtakatifu mwaka 1309.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Now known as Saint-Bertrand-de-Comminges.
- ↑ Monks of Ramsgate. "Bertrand of Comminges". Book of Saints 1921. CatholicSaints.Info. 1 September 2012
- ↑ St. Bertrand of Comminges Catholic Online
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Rafael Lazcano, Episcopologio agustiniano. Agustiniana, Guadarrama (Madrid), 2014, vol. II, 2024-2063. [Life, works, studies, iconography and wegraphy).
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |