Betrandi wa Comminges

Betrandi wa Comminges (L'Isle-Jourdain, Ufaransa, 1050 hivi – Lugdunum Convenarum[1], Ufaransa, 1126) alikuwa kanoni Mwaugustino, halafu kwa karibu miaka 50[2] askofu wa Lugdunum Convenarum, akifufua na kurekebisha jimbo hilo[3].

Mt. Betrandi alivyochorwa kaburini pake.

Papa Honori III alimtangaza mwenye heri mwaka 1220/1222, halafu Papa Klementi V alimfanya mtakatifu mwaka 1309.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Rafael Lazcano, Episcopologio agustiniano. Agustiniana, Guadarrama (Madrid), 2014, vol. II, 2024-2063. [Life, works, studies, iconography and wegraphy).

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.