Cuanza Kusini
Cuanza Kusini (kwa Kireno: Cuanza Sul) ni kati ya mikoa kumi na nane ya Angola.
Cuanza Kusini Cuanza Sul |
|
![]() Cuanza Sul |
|
Nchi | Angola |
---|---|
Mji mkuu | Sumbe |
Una wakazi 1.881.873 (2014) kwenye eneo la km² 55,660. Makao makuu ya mkoa yapo Sumbe.
Tazama pia Edit
Bengo | Benguela | Bié | Cuando Cubango | Cuanza Kaskazini | Cuanza Kusini | Cunene | Huambo | Huíla | Kabinda | Luanda | Lunda Kaskazini | Lunda Kusini | Malanje | Moxico | Namibe | Uíge | Zaire |
Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Cuanza Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |