Daladala
Daladala ni neno la kawaida nchini Tanzania la kutaja gari dogo linalotumika kwa usafiri wa umma likifuata njia maalumu yenye namba yake.

Dereva anafanya kazi yake pamoja na msaidizi anayeitwa "konda" au "manamba"[1] mwenye kazi ya kukusanya pesa na kufungua au kufunga mlango.
Tanbihi hariri
- ↑ Neno "manamba" lina maana nyingi!
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Daladala kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |