Dubrisi (pia: Dubricius, Dubric, Dybrig, Dyfrig, Devereux; Madley, Uingereza, 465 hivi - Kisiwa cha Bardsey, Welisi, 550 hivi) alikuwa mmonaki msomi anayetajwa kama mwanzilishi na abati wa monasteri za huko Hentland na Moccas halafu kama askofu wa Llandaff [1].

Mt. Dubrisi katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[2].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.