Epimako, Aleksanda na wenzao

Epimako, Aleksanda na wenzao Merkuria, Dionisya na Amonaria (walifia dini Aleksandria, Misri, 12 Desemba 250 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Decius.

Wanaume walichomwa moto, wanawake walikatwa kichwa.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 12 Desemba[1][2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.