Farao (kwa Kimisri jumba. Katika lugha ya Kiswahili linatumika pia jina Firauni) lilikuwa jina la heshima ambalo kila mfalme wa Misri ya kale alipewa. Jina hilo lilitumika hadi Warumi walipoiteka Misri mwaka 30 KK. Kabla ya hapo, wafalme wa kale wa Misri walikuwa na majina matatu: Horus, Nesu Bety na Nebty.

Farao.

Maarufu zaidi ni Ramses II aliyekuwa farao wa masimulizi ya Biblia na Kurani kuhusu Musa, pamoja na Tutankhamun ambaye ni farao pekee ambaye kaburi lake limehifadhiwa hadi leo bila kuporwa na majambazi.

Farao wa mwisho alikuwa malkia Kleopatra.

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Farao kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.