Felisi na Fortunati

Felisi na Fortunati (walifariki Aquileia, Friuli, leo nchini Italia, mwanzoni mwa karne ya 4) walikuwa ndugu Wakristo kutoka Vicenza ambao waliuawa kwa kukatwa kichwa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Kifodini cha Wat. Felisi na Fortunati,
mchoro wa Gaspare Diziani, 1740 hivi.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 14 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • La Basilica dei Santi Felice e Fortunato in Vicenza, Vol. I, ed. Banca Popolare, Vicenza, 1979
  • Lelia Cracco Ruggini, Storia totale di una piccola città: Vicenza romana, in Storia di Vicenza, Vol. I, Vicenza, Neri Pozza editore, 1988
  • Giovanni Mantese, Memorie storiche della Chiesa vicentina, I, Dalle origini al Mille, ed. Accademia Olimpica, Vicenza, 1952 (tena 2002)
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.