Fransisko Gil de Frederich

Fransisko Gil de Frederich, O.P. (1702-1845) alikuwa padri wa Hispania.

Baada ya kuhubiri Injili bila kujibakiza nchini Vietnam, hata akiwa kifungoni, aliuawa kwa kuchomwa kwa upanga.

Ni mmojawapo kati ya Wakristo wafiadini wa Vietnam waliouawa kwa ajili ya imani yao huko Vietnam katika karne ya 17, 18 na 19 (16251886). Wanatajwa pia kama Watakatifu Andrea Dũng-Lạc na wenzake 116.

Kwa nyakati tofauti, Papa Leo XIII, Papa Pius X na Papa Pius XII waliwatangaza kuwa wenye heri, halafu Papa Yohane Paulo II aliwaunganisha katika kuwafanya watakatifu wafiadini tarehe 19 Juni 1988.

Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila tarehe 24 Novemba, ila ya kwake mwenyewe ni tarehe 22 Januari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  • Les Missions Etrangères. Trois siecles et demi d'histoire et d'aventure en Asie Editions Perrin, 2008, ISBN 978-2-262-02571-7
  • "St. Andrew Dung-Lac & Martyrs", by Father Robert F. McNamara, Saints Alive and All God's Children Copyright 1980-2010 Rev. Robert F. McNamara and St. Thomas the Apostle Church.
  • "Vietnamese Martyr Teaches Quiet Lessons", By Judy Ball, An AmericanCatholic.org Web Site from the Franciscans and St. Anthony Messenger Press.
  • Ceferino Puebla Pedrosa (red.), "Witnesses of the faith in the orient. Dominican Martyrs of Japan, China, and Vietnam", The Dominican Province of St. Joseph, New York, 2006, isbn = 978-9718596036 [1]

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
  1. http://nominis.cef.fr/contenus/witnessesdominicainscanada.pdf