Fuljensi wa Ecija
Fuljensi wa Ecija (alifariki 630) alikuwa askofu huko Andalusia, nchini Hispania, ndugu wa Leandro, Isidoro na Florentina. Kwa ajili yake Isidoro aliandika kitabu juu ya vyeo vya Kikanisa.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 14 Januari[1].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: