Genoveva Torres Morales

Genoveva Torres Morales (Almenara, 3 Januari 1870 - Zaragoza, 5 Januari 1956) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki nchini Hispania ambaye, baada ya kupitia majaribu na maradhi mengi tangu utotoni, alianzisha shirika lake lijulikanalo kama Mabinti wa Moyo Mtakatifu wa Yesu na Malaika watakatifu. Alitaka shirika hilo jipya lizingatie utunzaji wa wanawake wote[1]. Wakati wa maisha yake na baada ya kifo chake, alitajwa kama "Malaika wa Upweke". [2]

Mt. Genoveva Torres Morales.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mnamo 1995 na mtakatifu mnamo 2003. [3]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum
  2. Genoveva Torres Morales (1870-1956)
  3. "Saint Genoveva Torres Morales". Saints SQPN. 18 April 2015. Iliwekwa mnamo 5 July 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.