Gilduino (Combourg, Ille-et-Vilaine, Ufaransa, 1052 - San Piede in Vallèe, Ufaransa, 27 Januari 1077) alikuwa shemasi wa Dol ambaye alikataa uaskofu mbele ya Papa Gregori VII akijiona hastahili akafariki katika safari ya kurudi kutoka Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 27 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Dictionnaire biographique sous la direction de Jean-Loup Avril 321 Malouins, Les portes du Large, 2004 (ISBN 291461215X) p. 116.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.