Gregori wa Agrigento

Gregori wa Agrigento (Agrigento, 559 - Agrigento, 630) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki huko Agrigento, Sicilia, leo nchini Italia kuanzia mwaka 590 hadi kifo chake.

Mt. Gregori II.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Novemba[1].

Anatajwa kama mwandishi wa vitabu vya Kigiriki juu ya Biblia.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

  • Berger, Albrecht, mhariri (1995). Das Leben des heiligen Gregorios von Agrigent: Kritische Ausgabe, Übersetzung und Kommentar. Akademie Verlag. 
  • Ettlinger, G. H. (1986). "The Form and Method of the Commentary on Ecclesiastes by Gregory of Agrigentum". Studia Patristica 18 (1): 317–320. 
  • Martyn, John R. C., mhariri (2004). A Translation of Abbot Leontios' Life of Saint Gregory, Bishop of Agrigento. Edwin Mellen Press. 

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.