Homer

(Elekezwa kutoka Homeri)

Homeri (pia: Homer; kwa Kigiriki: Ὅμηρος homeros) ni jina la mshairi mashuhuri kabisa wa Ugiriki ya Kale. Mashairi makubwa yanayosimulia vita vya Troya (Ilias) na misafara ya mfalme Odiseo (Utenzi wa Odisei) yamehifadhiwa kama kazi zake.

Sanamu hii ya Homer inapatkana katika makumbusho ya Kiingereza London; ni mwigo wa Kiroma wa mfano wa Kigiriki
Homer (William Bouguereau, 1874)

Maswali juu yake

hariri

Wataalamu wa leo hutofautiana kama Homeri alikuwa kweli mtunzi wa mashairi hayo au kama ni sehemu za mashairi haya tu yaliyotungwa naye wakiamini ya kwamba kwa jumla ni mashairi ya kale yaliyowahi kuimbwa kabla yake. Pia kuna wataalamu wanaouliza kama Homeri alikuwa mtu wa kihistoria au kama ni jina tu lililopachikwa kwa mashairi haya.

Maisha

hariri

Kufuatana na mapokeo ya kale Homeri alikuwa mshairi kipofu aliyeishi katika eneo la Ionia (Asia Ndogo) lililokaliwa na walowezi Wagiriki mnamo karne ya 8 KK. Miji mbalimbali ya Ionia hutajwa kama mahali pa kuzaliwa kwake. Jina la mama yake lilikuwa Kreitheïs. Anasemekana alikufa kwenye kisiwa cha Ios.

Kujisomea

hariri

Matoleo ya kazi yake

hariri
Kwa Kigiriki

Tafsiri ya mstari-kwa-mstari

hariri

Tafsiri kadhaa kwa Kiingereza

hariri

Kuhusu Homer

hariri
  • Carlier, Pierre (1999). Homère (kwa French). Paris: Les éditions Fayard. ISBN 2-213-60381-2.{{cite book}}: CS1 maint: unrecognized language (link)
  • de Romilly, Jacqueline (2005). Homère (toleo la 5th). Paris: Presses Universitaires de France. ISBN 2-13-054830-X.
  • Fowler, Robert, mhr. (2004). The Cambridge Companion to Homer. Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 0-521-01246-5.
  • Latacz, J.; Windle, Kevin, Tr.; Ireland, Rosh, Tr. (2004). Troy and Homer: Towards a Solution of an Old Mystery. Oxford: Oxford University Press. ISBN 0-19-926308-6.{{cite book}}: CS1 maint: multiple names: authors list (link) In German, 5th updated and expanded edition, Leipzig, 2005. In Spanish, 2003, ISBN 84-233-3487-2. In modern Greek, 2005, ISBN 960-16-1557-1.
  • https://archive.org/stream/encyclopaediabrit13chisrich#page/626/mode/1up David Binning Monro in Encyclopaedia Britannica, volume 12, pages=626-639
  • Morris, Ian; Powell, Barry B., whr. (1997). A New Companion to Homer. Leiden: Brill. ISBN 90-04-09989-1.
  • Nikoletseas, M. M. ( 2012). The Iliad - Twenty Centuries of Translation. ISBN 978-1469952109
  • Powell, Barry B. (2007). Homer (toleo la 2nd). Malden, MA; Oxford, UK; Carlton, Victoria: Wiley-Blackwell. ISBN 978-1-4051-5325-6.
  • Vidal-Naquet, Pierre (2000). Le monde d'Homère (kwa French). Paris: Perrin. ISBN 2-262-01181-8. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: unrecognized language (link)
  • Wace, A.J.B.; F.H. Stubbings (1962). A Companion to Homer. London: Macmillan. ISBN 0-333-07113-1.

Maandiko muhimu juu ya Homer

hariri

Maelezo ya maandiko yake

hariri

Kuhusu tarehe za mashairi yake

hariri
  • Janko, Richard (1982). Homer, Hesiod and the Hymns: Diachronic Development in Epic Diction. Cambridge Classical Studies. Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 0-521-23869-2. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Homer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.