Kibretoni (kwa lugha hiyo: Brezhoneg) ni kati ya lugha za Kiselti, tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya ambalo limerudi nyuma sana tangu zamani za Roma ya Kale lilipokuwa linatumika katika eneo kubwa sana la Ulaya hadi Uturuki wa leo.

Ramani inayonyesha lugha za Kiselti zinapotumika hadi leo au zilipotumika katika karne za mwisho:      Ireland (Kieire)      Scotland (Kiskoti)      Isle of Man (Kimanksi)      Wales (Kiwelisi)      Cornwall (Kikornishi)      Brittany (Kibretoni)

Kibretoni pia ni hai bado, lakini katika hatari ya kutoweka.

Wanaoijua ni watu 226,000 hivi, hasa katika rasi ya Bretagne, kaskazini magharibi wa Ufaransa.

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Wikipedia
Kibretoni ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  • Ofis Publik ar Brezhoneg official website.
  • France 3 breizh, ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-08-28, iliwekwa mnamo 2019-10-05 {{citation}}: Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help), the public Breton TV channel.
  • Endangered, Breizh net: an essay about the situation of the Breton language.
  • 100 Breton Internet-related words, Breizh, ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-12-12, iliwekwa mnamo 2019-10-05 {{citation}}: Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)
  • Amsez Wask Breizh, Agence bretagne presse: news in Breton.
  • Breizh, ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (blog) mnamo 2011-06-12, iliwekwa mnamo 2006-07-07: Brittany information, articles about Breton.
  • A Taste of Breton Verse, Summerlands.
  • Breton, Omniglot.

Kamusu

hariri

Kujifunza

hariri

Biblia

hariri
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibretoni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.