Isle of Man

BritishIslesMan.png

Isle of Man (Kimanx: Ellan Vannin; "Kisiwa cha Man") ni kisiwa baharini kati ya Uingereza na Ueire chenye wakazi 75,000 kwenye eno la 572 km².

Man ni eneo chini ya taji la Uingereza si sehemu ya Uingereza yenyewe. Douglas ni mji mkuu.

Lugha rasmi ni Kiingereza pamoja Kimanx ambacho ni lugha ya kikelti. Hakuna wasemaji wa Kimanx kama lugha ya kwanza tena lakini inafundihswa shuleni.

Viungo vya NjeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Isle of Man kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.