Lusia Filippini
Lusia Filippini (Corneto-Tarquinia, Lazio, 16 Januari 1672 - Montefiascone, Lazio, 25 Machi 1732) alikuwa mwanamke wa Italia ya kati ambaye, kwa msaada wa kardinali Marcantonio Barbarigo, alianzisha shirika la Walimu wa Kikristo kwa ajili ya malezi ya wasichana na wanawake, hasa fukara[1].
Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 13 Juni 1926 na mtakatifu tarehe 22 Juni 1930.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Profile, catholic.org; accessed 31 October 2014.
- Founder Statue in St Peter's Basilica
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |