Jimbo Katoliki la Bukoba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jimbo Katoliki la Bukoba''' (kwa Kilatini Dioecesis Bukobaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania ...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 07:50, 8 Januari 2012
Jimbo Katoliki la Bukoba (kwa Kilatini Dioecesis Bukobaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Mwanza.
Askofu wake ni Nestorius Timanywa, akishirikiana na [askofu msaidizi]] Method Kilaini.
Historia
- 13 Desemba 1951: Kuanzishwa kwa Apostolic Vicariate of Lower Kagera
- 25 Machi 1953: Kupandishwa hadhi kuwa dayosisi kwa jina la Rutabo
- 21 Juni 1960: Kubadilishiwa jina liwe Bukoba, makao mkuu wa mkoa wa Kagera.
Uongozi
- Maaskofu wa Bukoba
- Askofu Nestorius Timanywa (tangu tarehe 26 Novemba 1973)
- Askofu Placidus Gervasius Nkalanga, sasa O.S.B. (6 Machi 1969 – 26 Novemba 1973)
- Kardinali Laurean Rugambwa (21 Juni 1960 – 19 Desemba 1968)
- Maaskofu wa Rutabo
- Vicar Apostolic wa Lower Kagera
- Kardinali Laurean Rugambwa (13 Desemba 1951 – 25 Machi 1953)
Takwimu
Eneo ni la kilometa mraba 8,608, ambapo kati ya wakazi 870,048 (2006) Wakatoliki ni 521,256 (59.9%) katika parokia 29.
Hao wanahudumiwa na mapadri 119, ambao kati yao 113 ni wanajimbo na 6 ni watawa. Hivyo kila mmojawao kwa wastani anahudumia waamini 4,380.