Primasia (kwa Kiingereza "Primacy", kutokana na Kilatini "Primus", yaani "wa kwanza") ni msamiati wa teolojia ya Ukristo ambao unajaribu kueleza kwa nini baadhi ya maaskofu wana mamlaka juu ya wenzao, hasa Papa wa Roma kuwa na mamlaka juu ya maaskofu wote wa Kanisa Katoliki.

Mkusanyiko wa Mitume Thenashara. Picha takatifu ya karne ya 14, Moscow, Russia.

Uwepo wa mamlaka ya namna hiyo unakubaliwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki, Wakatoliki wa Kale na Waanglikana, ambao wote wana maaskofu wakuu na hata Mapatriarki wenye mamlaka juu ya maaskofu wakuu.

Tofauti zinajitokeza katika kueleza asili na utekelezaji wake unaotakiwa kuendana na usinodi.

Kwa Wakatoliki, primasia ilitakwa na Yesu mwenyewe katika kuchagua mitume wake pamoja na mkuu wao, Simoni Petro, ambaye katika orodha zao zote nne zilizomo katika Agano Jipya anawatangulia wenzake, tena Injili ya Mathayo 10:1-4 inasema wazi kwamba ndiye "wa kwanza".

Madondoo mengine yanayotumiwa na Wakatoliki kama uthibitisho ni Math 16:17‑19 Lk 22:32 na Yoh 21:15‑17.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Augustine of Hippo (1888). "  Gospel According to St. John/Part 10". In Schaff, Philip; Wace, Henry. A select library of the Nicene and post-Nicene fathers of the Christian Church. Series 1. 7 (American ed.). Buffalo: Christian Literature. Wikisource. Tractate 10.
  • Augustine of Hippo (1887). "  The Correction of the Donatists/Chapter 10". In Schaff, Philip; Wace, Henry. A select library of the Nicene and post-Nicene fathers of the Christian Church. Series 1. 4 (American ed.). Buffalo: Christian Literature. Wikisource.
  • Augustine of Hippo (1887). "  On Christian Doctrine/Book I/Chapter 18". In Schaff, Philip; Wace, Henry. A select library of the Nicene and post-Nicene fathers of the Christian Church. Series 1. 2 (American ed.). Buffalo: Christian Literature. Wikisource.
  • Augustine of Hippo (1888). "  Gospel According to St. John/Part 124". In Schaff, Philip; Wace, Henry. A select library of the Nicene and post-Nicene fathers of the Christian Church. Series 1. 7 (American ed.). Buffalo: Christian Literature. Wikisource. Tractate 124.
  • Beal, John P; Coriden, James A; Green, Thomas J, eds. (2000). New commentary on the Code of Canon Law (study ed.). New York: Paulist Press. ISBN 0-8091-0502-0
      .
  • Boadt, Lawrence (2008). The life of St. Paul. Mahwah, NJ: Paulist Press. ISBN 978-0-8091-0519-9. 
  • Caparros, Ernest; Thériault, Michel; Thorn, Jean, eds. (1993). "Canon 331". Code of Canon Law annotated: Latin-English edition of the Code of Canon Law and English-language translation of the 5th Spanish-language edition of the commentary prepared under the responsibility of the Instituto Martín de Azpilcueta. Montréal: Wilson & Lafleur. pp. 272–273. ISBN 2-89127-232-3
      . https://books.google.com/books?id=8mgmAQAAMAAJ.
      . http://www.vatican.va/archive/ENG1104/_INDEX.HTM.
      . http://www.intratext.com/IXT/ENG1199/_INDEX.HTM.
      .
      . https://www.google.com/search?q=Farmer+%22is+not+explicitly+affirmed%22&btnG=Search+Books&tbm=bks&tbo=1.
      . https://books.google.com/books?id=1MsufgDEL1oC&pg=PA400.
      . http://www.uwyo.edu/lawlib/blume-justinian/ajc-edition-2/novels/121-140/novel%20131_replacement.pdf. Retrieved 2015-05-31.
      . https://books.google.com/books?id=uVmcAQAAQBAJ&pg=PA64.
      . https://books.google.com/books?id=C5V7oyy69zgC&pg=PA272.
      .

Vyanzo hariri

  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Primasia kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.