Austria Chini

(Elekezwa kutoka Niederösterreich)

Austria ya Chini (kwa Kijerumani: Niederösterreich) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 1.608.590 kwenye eneo la km² 19.177.

Mahali pa Austria Chini katika Austria
bendera ya Austria Chini

Mji mkuu ni Sankt Pölten.

Waziri mkuu ni Johanna Mikl-Leitner (ÖVP).

Jiografia hariri

Austria ya Chini imepakana na Ujerumani na majimbo ya Austria Juu, Steiermark, Burgenland na Vienna.

Miji mikubwa ni pamoja na Sankt Pölten na Wiener Neustadt.

Danubi na Morava ni mito muhimu zaidi.

Picha za Austria ya Chini hariri

Tovuti za Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Austria
 
Austria Chini (Niederösterreich)Austria Juu (Oberösterreich)BurgenlandKarinthia (Kärnten)SalzburgSteiermarkTirolVienna (Wien)Vorarlberg
  Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Austria Chini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.