Tirol (Austria)
Tirol (kwa Kijerumani pia: Tirol) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 757.634 kwenye eneo la km² 12.648.
Waziri mkuu ni Günther Platter (ÖVP).
Jiografia hariri
Jimbo la Tirol limepakana na nchi za Italia na Ujerumani na majimbo ya Vorarlberg, Kärnten na Salzburg.
Innsbruck ndio jiji kubwa tu lenye idadi ya wakazi zaidi ya 119,000.
Picha hariri
-
Mto wa Lech
-
Bendera ya Tirol
Tovuti za Nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Austria Chini (Niederösterreich) • Austria Juu (Oberösterreich) • Burgenland • Karinthia (Kärnten) • Salzburg • Steiermark • Tirol • Vienna (Wien) • Vorarlberg |
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tirol (Austria) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |