Oliver Plunkett (kwa Kieire: Oilibhéar Pluincéid; Loughcrew, County Meath, Ireland, 1 Novemba 1625[1] – Tyburn, London, Uingereza, 1 Julai 1681) alikuwa askofu mkuu wa Armagh, kaskazini mwa Ireland, kuanzia mwaka 1670[2].

Mt. Oliver alivyochorwa na Edward Luttrell.

Baada ya njama ya Kipapa aliendelea, ingawa kwa siri, kutokana na dhuluma ya serikali.

Hatimaye alikamatwa na kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kueneza imani Katoliki[3]. Hivyo alinyongwa na kuraruliwa akisamehe wote na kukiri imani sahihi hadi mwisho.

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 23 Mei 1920, halafu Papa Paulo VI tarehe 12 Oktoba 1975 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifodini chake[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Earlier biographers gave his date of birth as 1 November four years later, but since the discovery of an ancient reference to Oliver Plunkett’s birth in the Bodleian Library, Ashmolean, MS.436 which stated: "He was born on 1st. November 1625" biographers of Plunkett since the 1930s agree on 1625. These include: Hanly, O’Fiaich, Forristal, Curtis, O'Higgins, Walsh, Bennett, Stokes, Concannon, Carty, Matthews, Murphy, Nowak, Burns, Meagher and the St. Oliver web-site.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90987
  3. In passing judgement, the Chief Justice said: "You have done as much as you could to dishonour God in this case; for the bottom of your treason was your setting up your false religion, than which there is not any thing more displeasing to God, or more pernicious to mankind in the world". The jury returned within fifteen minutes with a guilty verdict and Archbishop Plunkett replied: "Deo Gratias" (Latin for "Thanks be to God").
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.