Papa Alexander VIII

(Elekezwa kutoka Papa Aleksanda VIII)

Papa Alexander VIII (22 Aprili 16101 Februari 1691) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6/16 Oktoba 1689 hadi kifo chake[1]. Alitokea Venezia, Italia[2].

Papa Aleksanda VIII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Vito Ottoboni.

Alimfuata Papa Inosenti XI akafuatwa na Papa Inosenti XII.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Alexander VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.