Papa Julius III

Papa wa kanisa la katoliki, 1550 mpaka 1555

Papa Julius III (10 Septemba 148723 Machi 1555) alikuwa Papa kuanzia tarehe 7 Februari 1550 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Papa Julius III.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Maria Ciocchi del Monte.

Alimfuata Papa Paulo III akafuatwa na Papa Marcello II.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.