Papa Romanus alikuwa Papa kuanzia Julai/Agosti hadi Novemba 897[1]. Alitokea Gallese, Lazio, Italia[2].

Papa Romanus.

Alimfuata Papa Stefano VI. Baada ya miezi michache tu aliondoshwa madarakani akafuatwa na Papa Theodor II.

Tarehe kamili ya kufariki kwake haijulikani.

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Romanus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.