Petro wa Trevi
Petro wa Trevi (Rocca di Botte, Abruzzo, karne ya 11 - Trevi nel Lazio, Italia, 30 Agosti 1052) alikuwa kijana Mkristo aliyeishi kitawa bila makao maalumu baada ya kukataa kuoa[1][2][3].
Alitangazwa mtakatifu na Papa Inosenti III tarehe 1 Oktoba 1215[4][5].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-24. Iliwekwa mnamo 2020-08-29.
- ↑ https://www.academia.edu/8236459/La_chiesa_di_San_Pietro_Eremita_a_Rocca_di_Botte
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90730
- ↑ http://www.comune.trevinellazio.fr.it/
- ↑ http://www.associazioneadop.it/San%20Pietro%20Eremita.pdf
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- http://catholicsaints.info/saint-peter-of-trevi/%7CCatholicSaints.Info
- https://archive.org/stream/actasanctorum40unse#page/n677/mode/2up%7CActa Sanctorum - Archive.org
- http://www.roccadibotte.terremarsicane.it/index.php?module=CMpro&func=viewpage&pageid=56 Archived 10 Machi 2018 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |