Ramon wa Fitero (pia: Raimundo, Raymond; karne ya 12 - 1163) alikuwa padri kanoni, halafu mmonaki na hatimaye abati wa monasteri ya mji huo, mwanzilishi wa shirika la kijeshi la Calatrava na mkombozi mkubwa wa Wakristo nchini Hispania[1].

Mt. Ramon akipigana na Waislamu vitani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Klementi XI mwaka 1719.

Sikukuu huadhimishwa tarehe 1 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.