Robati wa Molesme

(Elekezwa kutoka Roberto wa Molesme)

Robati wa Molesme (Troyes, Champagne, Ufaransa, 1028 - Molesme, Ufaransa, 17 Aprili 1111) alikuwa mmonaki[1], padri, abati na mwanzilishi wa monasteri mbalimbali wa shirika la Benedikto wa Nursia na vilevile kiongozi wa wakaapweke wengi.

Sanamu yake iliyochongwa katika karne ya 16.
Sanamu yake iliyochongwa katika karne ya 16.

Katika juhudi zake kwa ajili ya maisha ya kimonaki manyofu na magumu zaidi, hatimaye alianzisha urekebisho muhimu wa Citeaux [2][3].

Alitangazwa na Papa Honori III kuwa mtakatifu mwaka 1222.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Aprili[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Raymond, Marcel, Tre frati ribelli. Storia e avventura dei fondatori dei monaci bianchi, San Paolo edizioni, 2006, ISBN 88-215-5693-X
  • Van Damme, Jean-Baptiste, I tre fondatori di Citeaux, Edizioni Borla, 1991, ISBN 88-263-0785-7
  • Tomaino, Maria Gemma, Roberto di Molesme e la fondazione di Cîteaux nelle principali fonti storiche dell'XI e del XII secolo e nella Vita s. Roberti (XIII secolo). Nel IX centenario della morte di s. Roberto (1111-2011), Firenze, Nerbini, 2014 (Quaestiones; 3), ISBN 978-88-6434-082-1
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.