Sosyo (Miseno, mkoa wa Campania, leo nchini Italia 275 - Pozzuoli, Campania, 305) alikuwa shemasi aliyeuawa pamoja na askofu Januari na wenzake[1].

Mt. Sosyo (kulia) alivyochorwa pamoja na Severino wa Noriko.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 23 Septemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Pasquale Saviano, San Sossio levita e martire, Collana della basilica pontificia di San Sossio, n.1, Frattamaggiore 2006
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.