Vincent Uhega

Mwanzilishi

Vincent Lamwaka Uhega (alizaliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, 8 Agosti 1988) ni mwanzilishi wa asasi isiyo ya kiserikali ya Voice Of Youth Tanzania yenye makao yake makuu katika eneo la Usa River, wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha.

Ni balozi wa asasi maarufu ya Oya opportunity inayoshughulika na masuala ya fursa mbalimbali duniani [1]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vincent Uhega kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.