Wafiadini wa Sufetula

Wafiadini wa Sufetula (leo Sbeitla, nchini Tunisia) walikuwa Wakristo sitini waliouawa kwa ajili ya imani yao baada ya kubomoa sanamu ya mungu Mercurius[1].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.