Yared wa Ethiopia
Yared wa Ethiopia (5 Aprili 525 - 11 Mei 571) ni kati ya Wakristo maarufu wa Ethiopia[1].
Anatajwa kama mwanzilishi wa muziki wa Kikristo nchini.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
Viungo vya nje Edit
- A brief History of Saint Yared Archived 10 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
- Biography of Saint Yared Archived 28 Julai 2011 at the Wayback Machine.
- Yelibenwork Ayele. Honoring St. Yared, Ethiopia’s father of music[dead link]. Ethiopian Reporter, Saturday August 30, 2008. (dead link)
- Charles L. Chavis Jr. Saint Yared
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |