Yusta na Rufina

Yusta na Rufina (Sevilia, Hispania, 268 na 270 - Sevilia, 287) walikuwa dada na mdogo wake waliouawa kwa sababu ya imani ya Kikristo.

Wat. Yusta na Rufina, mchoro wa Murillo.

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 17 Julai[1].

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.