Adrian Atiman (Tindirma, Sudan ya Kifaransa, leo Mali, 1866 hivi [1] - Karema, mkoa wa Katavi, 24 Aprili 1956[2]) alikuwa katekista na daktari wa Kiafrika mmisionari nchini Tanzania[3].

Maisha hariri

Msonghai, alikombolewa na Wamisionari wa Afrika kutoka utumwa huko Metlili, kusini mwa Algeria[4].

Baada ya kusomeshwa hadi Ulaya[1] aliishi na kufanya kazi katika misheni ya Karema kuanzia mwaka 1889[5] hadi kifo chake akiheshimiwa na wote[2] kwa huduma zake zilizomfikisha hata vijiji vya mbali[2].

Aliacha mke na mtoto mmoja, padri Joseph[5], pamoja na masimulizi ya maisha yake.[6]

Tanbihi hariri

  1. 1.0 1.1 "Dr. Adrien Atiman". The British Medical Journal 1 (4978): 1305. 2 June 1956. JSTOR 20335675.  Check date values in: |date= (help)
  2. 2.0 2.1 2.2 J. Grosjean, Atiman (Adrien), Biographie Belge d'Outre-Mer, vol. 7-C (1989), 12-16.
  3. "Atiman, Adrian". dacb.org. Iliwekwa mnamo 2020-06-05. 
  4. Rockel, Stephen (16 April 2013). "The Remarkable Story of Adrian Atiman: Freed Slave to Medical Missionary". SSRN (kwa Kiingereza). SSRN 2252267.  Check date values in: |date= (help)
  5. 5.0 5.1 "Atiman, Adrien". Africa Museum Archives. Iliwekwa mnamo 2020-06-05. 
  6. "African history specialist discusses Adrien Atiman, freed slave to medical missionary". 14 March 2014. York University. Iliwekwa mnamo 18 August 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)

Marejeo kwa Kiswahili hariri

  • George Pelz, "Katekista na daktari Adrian Atiman"
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.