Alaotra-Mangoro ni moja ya mikoa 22 ya kujitawala ya Madagaska. Idadi ya wakazi wake ni takriban 877,700. Mji mkuu ni Ambatondrazaka.

Alaotra-Mangoro
Mahali paAlaotra-Mangoro
Mahali paAlaotra-Mangoro
Mahali pa Mkoa wa Alaotra-Mangoro katika Madagaska
Majiranukta: 17°50′S 48°25′E / 17.833°S 48.417°E / -17.833; 48.417
Nchi Madagaska
Wilaya 5
Mji mkuu Ambatondrazaka
Eneo
 - Jumla 31,948 km²
Idadi ya wakazi (2004)
 - Wakazi kwa ujumla 877,700



Makala hii kuhusu maeneo ya Madagaska bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alaotra-Mangoro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons



 
Mikoa ya Madagaska
Bandera ya Madagaska
Diana | Sava | Itasy | Analamanga | Vakinankaratra | Bongolava | Sofia | Boeny | Betsiboka | Melaky | Alaotra-Mangoro | Atsinanana | Analanjirofo | Amoron'i Mania | Haute Matsiatra | Vatovavy-Fitovinany | Atsimo-Atsinanana | Ihorombe | Menabe | Atsimo-Andrefana | Androy | Anosy