Itasy ni moja ya mikoa 22 ya kujitawala ya Madagaska. Idadi ya wakazi wake ni takriban 643,000. Mji mkuu ni Miarinarivo.

Itasy
Mahali paItasy
Mahali paItasy
Mahali pa Mkoa wa Itasy katika Madagaska
Majiranukta: 18°58′S 46°54′E / 18.967°S 46.900°E / -18.967; 46.900
Nchi Madagaska
Wilaya 3
Mji mkuu Miarinarivo
Eneo
 - Jumla 6,993 km²
Idadi ya wakazi (2004)
 - Wakazi kwa ujumla 643,000

Picha za Itasy hariri


  Makala hii kuhusu maeneo ya Madagaska bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Itasy kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



 
Mikoa ya Madagaska
 
Diana | Sava | Itasy | Analamanga | Vakinankaratra | Bongolava | Sofia | Boeny | Betsiboka | Melaky | Alaotra-Mangoro | Atsinanana | Analanjirofo | Amoron'i Mania | Haute Matsiatra | Vatovavy-Fitovinany | Atsimo-Atsinanana | Ihorombe | Menabe | Atsimo-Andrefana | Androy | Anosy