Alberto wa Yerusalemu
Alberto wa Yerusalemu (alizaliwa Castel Gualtieri, Italia, karne ya 12 - alifariki Akka, Israeli, 14 Septemba 1214) alikuwa kwanza kanoni, halafu askofu wa Bobbio, halafu wa Vercelli nchini Italia, halafu tena wa Yerusalemu katika Nchi Takatifu[1].
Ndiye aliyewapa kanuni watawa Wakarmeli. Aliuawa kwa upanga na mtu aliyekuwa amemlaumu na kumshusha cheo.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- Carmelite Calendar", at Sr. Helena of Mary, O.Carm, "St. Albert of Jerusalem, Law-Giver of Carmel"
- "St. Albert of Jerusalem", St. Joseph's Carmelite Monastery, Kilmacud
- Catholic Online, "St. Albert of Jerusalem"
- "Colonnade Statue in St Peter's Square"
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |