Amancio Ortega

Mfanyabiashara wa Uhispania

Amancio Ortega Gaona (matamshi ya Kihispania: [amanθjo oɾteɣa ɣaona]; alizaliwa Machi 28, 1936) ni mfanyabiashara bilionea wa huko Hispania. Yeye ndiye mkuu wa familia ya Ortega.

Ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa zamani wa kikundi cha mtindo cha Inditex, kinachojulikana kwa mlolongo wa maduka ya nguo na vifaa vya Zara.

Kufikia mwishoni mwa mwezi Septemba 2018, Ortega alikuwa na jumla ya mali halisi ya dola bilioni 70, na kumfanya awe mtu wa pili tajiri zaidi huko Ulaya baada ya Bernard Arnault, na wa sita duniani.

Ortega pia ni muuzaji tajiri zaidi duniani.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amancio Ortega kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.