Ansuero na wenzake

Ansuero na wenzake 28 (walifariki Ratzeburg, Ujerumani, 15 Julai 1066) ni wamonaki Wabenedikto waliofia dini yao kwa kupigwa mawe na Wavendi waliokataa kuhubiriwa Injili[1].

Ansuero alikuwa abati wao.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.